RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Shirikisho la Jumuiya ya Wafanyabiashara kutoka Nchini Saudi Arabia, ukiongozwa na Rais wa Shirikisho hilo Mhe.Hassan Al-Huwayz (kulia kwa Rais) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 12-2-2025 na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Kazi Uchumi na Uwekezaji Zanzibar Mhe.Shariff Ali Shariff .(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Rais wa Shirikisho la Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Saudi Arabia Mhe. Hassan Al Huwayz, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 12-2-2025.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akishuhudia utiaji wa saini ya Makubaliano ya Ushirikiano wa Biashara na Uwekezaji na Saudi Arabia, kati ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Kampuni ya Uwekezaji ya Saudi Arabia “SADIC”, kwa upande wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar amesaini Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Kazi,Uchumi na Uwekezaji Zanzibar. Mhe.Shariff Ali Shariif na kwa Saudi Arabia amesaini Mtendaji Mkuu wa Kampuni hiyo “SADIC” Mhe.Mohamed Aldulan, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 12-2-2025.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na wageni wake, kutoka Shirikisho la Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Nchini Saudi Arabia ukiongozwa na Rais wa Shirikisho la Jumuiya hiyo Mhe. Hassan Al Huwayz (kulia kwa Rais) baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 12-2-2025.(Picha na Ikulu)