Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) akishiriki kikao na menejimenti ya Wizara ya Maji. Kikao kimejikita katika masuala mtambuka kuhusu Sekta ya Maji nchini na kimefanyika Mtumba, jijini Dodoma
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) akishiriki kikao na menejimenti ya Wizara ya Maji. Kikao kimejikita katika masuala mtambuka kuhusu Sekta ya Maji nchini na kimefanyika Mtumba, jijini Dodoma