Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imetoka nyuma 1-0 na kushinda 2-1 dhidi ya Senegal kwenye mashindano ya CECAFA ya Mataifa matatu katika dimba la Black Rhinos, Karatu Tanzania.
Huu ni ushindi wa pili kwa Stars baada ya kuilaza Uganda The Cranes 1-0 kwenye mchezo wa kwanza wa mashindano hayo ambayo ni sehemu ya maandalizi ya michuano ya CHAN 2024 inayotarajiwa kuanza Agosti 2, 2025.
FT: Tanzania πΉπΏ 2-1 πΈπ³ Senegal
β½ 53β Sopu (P)
β½ 56β Bacca
β½ 08β Mbodji
βΒ