Â
🚨 DEAL DONE ✅
Nyota wa Kimataifa wa Zambia aliyewahi Kuzitumikia Simba na Yanga Clatous Chama Amejiunga Rasmi na Klabu ya Singida Black Stars Kwa Mkataba wa Mwaka Mmoja Kama Mchezaji Huru Baada ya Kuachana na Young Africans Msimu Uliomalizika.
Kila kitu Kimekamilika na Singida Black Stars Wanatarajia kumtangaza Chama kama Mchezaji Muda wowote kuanzia sasa.
​Â