Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) (kulia), akiwa na Makamu mpya wa Rais wa Benki ya Dunia anayesimamia Kanda ya Afrika Mashariki na Kusini, Dkt. Ndiamé Diop, walipokutana na kufanya mazungumzo kwenye Mikutano ya Majira ya Kipupwe ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) na Benki ya Dunia, Jijini Washington D.C, nchini Marekani.

Ujumbe wa Tanzania ukiongozwa na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) (kushoto), ukiwa katika mazungumzo na Timu ya Benki ya Dunia ikiongozwa na Makamu mpya wa Rais wa Benki hiyo anayesimamia Kanda ya Afrika Mashariki na Kusini, Dkt. Ndiamé Diop, kwenye Mikutano ya Majira ya Kipupwe ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) na Benki ya Dunia, Jijini Washington D.C, nchini Marekani. (Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, WF, Washington D.C, Marekani)