
Mwenyekiti wa Baraza la Chuo cha MUHAS, Marsha Macatta Yambi akizungumza na waandishi wa habari wakati uzinduzi wa mradi wa awamu ya pili wa ujenzi na uendelezaji wa Kituo cha Umahiri wa Sayansi ya Magonjwa ya Moyo na Mishipa ya Damu kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki, unaotekelezwa na MUHAS.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda (katikati) akikata utape ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa Kituo cha Mafunzo kwa Vitendo, Tiba za dharura na Ajali katika Kampasi ya Mloganzila.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda (katikati) akibonyeza kitufe ikiwa ni ishara ya uzinduzi mradi wa awamu ya pili wa ujenzi na uendelezaji wa Kituo cha Umahiri wa Sayansi ya Magonjwa ya Moyo na Mishipa ya Damu kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki, unaotekelezwa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) katika hafla iliyofanyika Mei 23, 2025, jijini Dar es Salaam katika
Makamu Mkuu wa Chuo cha MUHAS, Profesa Appolinary Kamuhabwa akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa mradi wa awamu ya pili wa ujenzi na uendelezaji wa Kituo cha Umahiri wa Sayansi ya Magonjwa ya Moyo na Mishipa ya Damu kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki.