0 Comment
Na Munir Shemweta, WANMM Mwenyekiti wa Kamati ya Kusimamia Uteuzi na Nidhamu ya Madalali wa Mabaraza ya Ardhi nchini ambaye ni Naibu Msajili wa Mahakama Kuu Mhe. Suzan Kihawa ameongoza kamati yake kufanya ukaguzi wa kawaida kwenye ofisi na maghala ya kampuni za udalali kuangalia utekelezaji wa shughuli za madalali wa mabaraza ya ardhi. Ukaguzi... Read More