0 Comment
Na Said Mwishehe,Tunduru MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira amesema moja ya mafanikio katika miaka mine ya uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ni uwepo wa amani, umoja na mshikamano kwa Watanzania. Aidha, amewahakikishia wananchi kuwa nchi iko salama huku akitumia nafasi hiyo kusisitiza kwamba Tanzania hakuna kubaguana kwa dini, rangi... Read More