0 Comment
Na Imma Msumba : Arusha Naibu mkuu wa Chuo Fedha, Mipango na Utawala Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), Dkt. Grace Temba, amesema kuwa wanatambua mchango mkubwa wa viongozi, watumishi wanawake na wanafunzi wa kike katika maendeleo endelevu ya chuo hicho. Akizungumza mara baada ya kutembelea banda la chuo hicho lililopo katika maonesho yanayoendelea katika Uwanja... Read More