0 Comment
Benki kuu ya Tanzania (BOT) imesema imekusanya kiasi cha Tani mbili za Dhahabu zenye thamani ya Shilingi Bilioni 400 kuanzia Mwezi Oktoba 2024 hii ni baada ya Serikali kuondoa tozo ya ukaguzi pamoja na punguzo ya tozo ya Asilimia mbili ya Mrahaba . Hayo yameelezwa wakati wa Mafunzo ya Uongezaji thamani kwa wanawake wachimbaji yaliyotolewa... Read More