Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa leo Aprili 26, 2025 amewasili Mkoani Mbeya kwa ajili ya kuanza ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi mbalimbali inayotekelezwa na Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Aidha, leo kiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Muungano hapa nchini tayari amepata fursa ya kukagua miradi... Read More
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa na Balozi wa Tanzania Vatican mwenye mkazi Berlin Mhe. Balozi Hassan Mwamweta wakati akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Leonardo Da Vinci uliopo Mjini Roma nchini Italia tarehe 25 Aprili 2025. Makamu wa Rais anatarajiwa kumwakilisha Rais wa... Read More
Na Lucas Raphael,Tabora Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imesaini mkataba wa Ujenzi wa skimu ya umwagiliaji uliyopo Kijiji Cha Idudumo kata ya Mwanzoli wilaya ya Nzega mkoani Tabora Mradi utakaongharimu kiasi cha shilingi Billion 36.7 Mradi huo utawanufaisha wananchi wapatao 5000 kutoka katika vijiji 5 vya Idudumo,Mwanzori,Mwagedeli,Kitengwe na Iduguta katika kata za Mwanzori na... Read More
Washiriki zaidi ya 100 wa Jukwaa la Pili la Utalii wa Vyakula kutoka nchi mbalimbali wakiongozwa na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Nkoba Mabula jana Aprili 25, 2015 wamefanya ziara ya kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Arusha kujionea vivutio vya utalii ambavyo vinapatikana ndani ya hifadhi hiyo. Washiriki hao walipokelewa na Naibu... Read More
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro amewataka wasomi nchini kutokuwa na Upande katika uchaguzi Mkuu wa mwaka huu ili kupata nafasi ya kuieleza jamii ukweli bila kuwa na Unazi. Dkt. Ndumbaro ametoa kauli hiyo leo Aprili 25,2025 jijini Dodoma wakati akihitimisha maadhimisho ya Kilele cha Siku ya sheria 2025... Read More
LEO hii wakali wa ubashiri Meridianbet tunaenda kuangalia mechi za Nusu Fainali za Ligi ya Mabingwa ambazo zitapigwa wiki hii kwenye viwanja viwili tofauti pale Olimpico Lluis na Emirates. Vijana wa Mikel Arteta Arsenal Jumanne hii watawakaribisha vijana wa Luis Enrique majira ya saa 4:00 usiku kwenye mchezo ambao utakuwa ni wa kusisimua huku morali za... Read More
NA FARIDA MANGUBE, MOROGORO WAZIRI wa Ujenzi, Mhandisi Abdallah Ulega, ametembelea na kukagua barabara ya Malinyi mkoani Morogoro ambayo imeharibika kutokana na maji ya Mto Furuwa kuvunja kingo na kupita juu ya barabara, hali iliyosababisha kukatika kwa mawasiliano kati ya kijiji cha Misegese na Malinyi mjini. Ziara hiyo ya siku moja imefanyika kufuatia malalamiko... Read More
SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu Idara inayohusu Sayansi na Teknolojia imetengeneza mwongozo wa matumizi ya Akili Mnemba (AI) katika Taasisi zake za Elimu ya Juu ili iweze kuleta manufaa kwa watu wote. Imesema hakuna namna ya kusema kuzuia, badala yake wanatengeneza utaratibu wa kuhakikisha inatumika vizuri. Mkurugenzi wa Elimu ya Juu Prof. Peter Msofe... Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa Watanzania kuulinda na kuudumisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa nguvu zao zote, akisisitiza kuwa ni tunu ya kipekee inayopaswa kuenziwa kwa vitendo, umoja na mshikamano wa kitaifa. Akihutubia taifa kuelekea maadhimisho ya miaka 61 ya Muungano, Rais Samia amesema mwaka... Read More