0 Comment
Na Mustapha Seifdine, Ngorongoro Kreta. Tarehe 25 Julai, 2025. Eneo la hifadhi ya Ngorongoro limeendelea kuwa kimbilio la wageni mashuhuri duniani ambapo siku ya leo, Meya wa Jiji la Dallas nchini Marekani, Mhe. Eric Johnson kwa mara ya kwanza ameshuhudia upekee wa vivutio vya utalii vilivyopo katika hifadhi hiyo. Meya huyo aliyefuatana na Balozi wa... Read More