Shamrashamra za mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan mara baada ya kuwasili Wilayani Busega Mkoani Simiyu tarehe 15 Juni, 2025. “HAKIKA SIMIYU IMEITIKA”
Na WAF – Bariadi, Simiyu Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amezitaka Hospitali zote nchini kuwa na utamaduni wa kusimamia na kulinda miundombinu iliyopo kwa wivu mkubwa kwakuwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uwekezaji mkubwa katika sekta ya afya kwa kuboresha miundombinu na vifaa tiba. Waziri Mhagama amesema hayo leo Juni 15, 2025 alipotembelea... Read More
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amewasisitiza Watanzania waishio nchini China (Dispora) kuchangamkia fursa ikiwa ni pamoja na kuongeza mauzo ya bidhaa na huduma za Tanzania nchini humo. Hayo yamejiri wakati Mheshimiwa Kombo alipozungumza na Watanzania hao katika mji wa Guangzhou jimbo la Guangdong tarehe... Read More
Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) anayemaliza muda wake, Dkt. Akinwumi Adesina amemaliza ziara yake ya kikazi ya siku 4 aliyoifanya nchini Tanzania kuanzia tarehe 12 hadi 15 Juni 2025. Dkt. Adesina aliondoka nchini kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere na kusindikizwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na... Read More
NA DENIS MLOWE, IRINGA MBUNGE wa Viti Maalumu Mkoa wa Iringa, Ritha Kabati ametoa msaada wa watoto wanaoishi katika mazingira magumu kituo cha Huruma Center na kuwataka kuzingatia masomo. Akizungumza wakati wa kukabidhi msaada huo, Kabati alisema kuwa lengo la kuwapatia msaada huo wa vyakula ikiwemo mchele, sukari, sabuni na vingine vingi vyote vikiwa na... Read More
Serikali imetumia zaidi ya bil 75 kutekeleza miradi ya maendeleo katika kata ya Mji Mwema na kisha kufanikiwa kupunguza changamoto zilizokuwa zinawatesa wananchi katika sekta ya afya,elimu,barabara,maji na kilimo. Akizungumza wakati wa mkutano wa kusoma taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) katika kata hiyo Nestory Mahenge amesema fedha hizo zimekuwa chachu... Read More
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na wadau wa elimu katika harambee ya kuchangia ujenzi wa uzio wa shule ya sekondari ya Wasichana ya Ruvu iliyopo Kibaha vijijini mkoani Pwani, iliyofanyika katika ukumbi wa Golden Tulip jijini Dar es salaa Juni 14, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) anayemaliza muda wake, Dkt. Akinwumi Adesina amemaliza ziara yake ya kikazi ya siku 4 aliyoifanya nchini Tanzania kuanzia tarehe 12 hadi 15 Juni 2025. Dkt. Adesina aliondoka nchini kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere na kusindikizwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na... Read More
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohamed Mchengerwa,akizungumza na Waandishi wa habari leo Juni 15,2025 jijini Dodoma wakati akitangaza rasmi tarehe ya kuvunjwa kwa Mabaraza ya Madiwani katika Mamlaka zote za Serikali za Mitaa nchini, ikiwa ni hatua ya maandalizi kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba... Read More