0 Comment
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohamed Mchengerwa,akizungumza na Waandishi wa habari leo Juni 15,2025 jijini Dodoma wakati akitangaza rasmi tarehe ya kuvunjwa kwa Mabaraza ya Madiwani katika Mamlaka zote za Serikali za Mitaa nchini, ikiwa ni hatua ya maandalizi kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba... Read More