0 Comment
Dar es Salaam. Kocha wa JKT Tanzania, Ahmad Ally ndiye atamsaidia Miguel Gamondi katika benchi la ufundi la timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’.Gamondi alitangazwa jana kuwa Kaimu Kocha Mkuu wa Taifa Stars baada ya mkataba wa Hemed Suleiman ‘Morocco’ kusitishwa. Habari kutoka chanzo cha uhakika ndani ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania... Read More

