0 Comment
Kiungo mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania Morice Abraham amejiunga rasmi na wekundu wa msimbazi kama mchezaji wao kuelekea msimu ujao wa mashindano akitokea Spartak Subotica ya Serbia kwa mkataba wa miaka miwili. Morice ambaye amefanya mazoezi na timu ya Simba mwishoni mwa msimu uliopita ni chaguo la kocha Fadlu Davids baada ya kuridhishwa na kiwango... Read More