0 Comment
Mbinga-Ruvuma. Wakulima wa mahindi Mkoani Ruvuma, wameiomba Serikali kufungua soko la kuuza mahindi mapema ili waweze kunufaika na bei nzuri badala ya kuuza kwa wafanyabiashara walianza kupitia mashambani kutaka kununua kwa bei ndogo isiyolingana na gharama kubwa ya uzalishaji. Wakizungumza kwa nyakati tofauti wamesema,Serikali ndiyo mkombozi mkubwa wa wakulima kwa sababu ndiyo inayonanunua mahindi kwa... Read More