0 Comment
MUMBAI: MKONGWE wa filamu za Bollywood, Dharmendra Deol, ameweka wazi upendo wake kwa staa wa filamu za India Shah Rukh Khan, baada ya kuweka picha wakiwa wamepiga pamoja na kueleza kuwa ni kama mwanae. Tukio hilo lilienea haraka mitandaoni na kuzua maoni ya hisia kutoka kwa mashabiki na mwanawe Dharmendra, Bobby Deol. Dharmendra alishiriki picha... Read More




