0 Comment
CHICAGO: MSHAMBULIAJI wa Mashetani wekundu Manchester United Rasmus Hojlund anasema angeweza kufanya vizuri zaidi angepata msaada katika safu ya ushambuliaji ya Manchester United misimu iliyopita akisisitiza yuko tayari zaidi kwa ushindani katika nafasi yake kuu ya ushambuliaji. Baada ya saa 48 za tetesi kuhusu United kusaka ‘straika’ huku Mslovenia Benjamin Sesko akipewa nafasi ya kutua... Read More