0 Comment
Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Omar Said Shaaban ameongoza ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wa Kawaida wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unaofanyika jijini Harare, Zimbabwe kuanzia tarehe 12 hadi 14 Julai, 2025. Mkutano huo ambao ulitanguliwa... Read More