0 Comment
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahmed Abbas Ahmed, ameitaka Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma kuongeza kasi ya kushughulikia hoja zilizoibuliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), licha ya halmashauri hiyo kupata hati safi. Akizungumza katika Baraza Maalum la Kujadili Hoja za CAG kwa Mwaka wa Fedha 2023/24, lililofanyika... Read More