0 Comment
Na WMJJWM- Shinyanga Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne Makinda amesema takwimu ni muhimu katika uratibu na utoajia wa huduma kwa wazee nchini. Makinda amesema hayo tarehe 14 June 2025, mkoani Shinyanga wakati akiwasilisha mada katika Kongamano la Siku ya Kimataifa Kuelimisha na Kupinga Ukatili dhidi ya Wazee. ”... Read More