0 Comment
RATIBA ya Ligi Kuu Bara 025-2026 imetoka ambapo pazia litafunguliwa kesho, Septemba 17, 2025 kwa KMC kuikaribisha Dodoma Jiji saa 10:00 jioni huku Coastal Union ikipambana na Tanzania Prisons saa 1:00 usiku. Hizi hapa timu zitakazokuwa na mechi nyingi saa 8:00 mchana zikiwemo Mashujaa, Tanzabia Prisons, KMC, Mbeya City, Pamba Jiji, Tabora United, Namungo na... Read More