0 Comment
Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika inatarajia kuendelea leo hii kwa michezo ya hatua ya awali mkondo wa kwanza kutimua vumbi huku macho ya Watanzania yakiwa kwa mwakilishi wa kwanza anayekipiga leo Nchini Malawi Yanga ambaye atakuwa ugenini kusaka tiketi ya hatua ya makundi dhidi ya Silver Strikers. Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga Romain... Read More