0 Comment
Simba SC imemtangaza Steven Barker Raia wa Afrika Kusini kuwa Kocha wao mpya, Steven Barker (57) alikuwa Kocha wa Stellenbosch ya Afrika Kusini toka 2017. Steven Barker amewahi kufundisha timu za University of Pretoria (2008-2014) na Amazulu (2014-2016) na amewahi kuzichezea timu Wits University (1990-1998) na SuperSport United 1999-2000. Barker hajawahi kucheza wala kufanya kazi... Read More



