0 Comment
UONGOZI wa klabu ya Yanga umefikia makubaliano ya kubadilishana wachezaji na klabu ya Singida Black Stars katika mpango unaolenga kuimarisha vikosi vya pande zote mbili kuelekea michuano ijayo. Kupitia makubaliano hayo, kiungo mkabaji wa Singida Black Stars, Mohamed Damaro Camara, anatarajiwa kutua Yanga, huku beki Balla Conte akielekea kujiunga na Singida Black Stars maarufu kama... Read More



