0 Comment
DUBAI:KIUNGO wa Ufaransa Paul Pogba ametwaa tuzo ya ‘Best Comeback’ kwenye hafla ya Globe Soccer Awards 2025, baada ya kurejea tena uwanjani kufuatia kipindi kigumu nje ya soka. Akizungumza baada ya kupokea tuzo hiyo, Pogba alisema safari yake haikuwa rahisi hata kidogo, lakini ilimfundisha kutambua watu waliokuwa karibu naye kwa dhati wakati hakuwa tena kwenye... Read More


