0 Comment
NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZA AKINAMAMA 100 wajawazito wilayani Nyamagana, Jijibla Mwanaz wamenufaika na msaada wa vifaa vya uzazi vyenye thamani ya shilingi milioni 5, vilivyotolewa na The Desk & Chair Foundation. Msaada huu unajumuisha pia ujenzi wa shimo la kisasa la kuhifadhi kondo la nyuma (placenta pit) katika Kituo cha Afya Makongoro, lililogharimu shilingi milioni... Read More