0 Comment
Mkuu wa timu ya wataalamu kutoka Burundi Mhe. Meja Jenerali Mbonimpa Maurice (aliyesimama mbele) pamoja na kiongozi wa timu ya Tanzania Bw. Samwel Katambi (aliyekaa mbele) na wataalamu wengine wakitoka kutembelea eneo la mto Malagarasi wilayani Kasulu mkoa wa Kigoma wakati Kamati ya Pamoja ya Wataalamu wa Uimarishaji mpaka wa Tanzania na Burundi (JTC) ilipotembelea... Read More