0 Comment
Mkurugenzi Mtendaji wa Watumishi Housing Investment (WHI) Dkt. Fred Msemwa (wa kwanza kushoto) akionesha Tuzo walioshinda ya Nyumba za gharama nafuu zaidi Afrika iliyotolewa na Taasisi ya Mikopo ya Nyumba Afrika (Africa Union for Housing Finance – AUHF) inayo tambuliwa na Umoja wa Afrika katika Mkutano na Waandishi wa habari uliofanyika leo Oktoba 23, 2024... Read More