0 Comment
Na. OR-TAMISEMI,Pwani Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Bi. Pili Mnyema, amewataka Wakuu wa Idara na Vitengo wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhakikisha uadilifu na weledi katika usimamizi wa miradi ya maendeleo ili kuhakikisha inakamilika kwa wakati na kwa ubora unaokubalika. Bi. Mnyema ametoa wito huo leo, Septemba 2, 2025, wakati akifungua awamu ya... Read More