0 Comment
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuthibitisha dhamira yake ya kuendeleza elimu ya juu yenye matokeo chanya katika uchumi wa Taifa, kupitia utekelezaji wa Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET), unaofadhiliwa kwa ushirikiano na Benki ya Dunia. Akizungumza Oktoba 22,2025 jijini Dodoma, Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya... Read More










