0 Comment
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Geita MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira ameeleza Chama hicho ni cha kudumu kwasababu kimekabidhiwa majukumu ya kudumu,hivyo kitaendelea kuwepo kwa ajilI ya kuwatumikia Watanzania. Wasira ameyasema hayo leo Juni 16,2025 alipokuwa akizungumza na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita ambako ameanza ziara ya... Read More