0 Comment
Dodoma, 2 Mei 2025 –MALAWI imetangaza rasmi kuondoa marufuku ya uagizaji wa mazao ya mimea kutoka Tanzania, hatua inayofungua ukurasa mpya katika uhusiano wa kibiashara kati ya mataifa hayo jirani. Uamuzi huo umetangazwa wakati wa Mkutano wa Pamoja wa Mawaziri wa Tanzania na Malawi uliofanyika jijini Dodoma, ukiwaleta pamoja viongozi waandamizi wa sekta za... Read More