0 Comment
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani VIONGOZI wa dini kupitia Kamati ya Amani Mkoa wa Pwani wameviasa vyama vyote vya siasa na wagombea kufuata kanuni na taratibu za uchaguzi, na kuepuka kuwa chanzo cha vurugu wakati wa mchakato wa kupiga kura. Aidha, kamati hiyo imewaomba wasimamizi wa uchaguzi kuhakikisha wanatenda haki na usawa kwa vyama vyote na Read More











