0 Comment
Ujumbe maalum kutoka Serikali ya Uingereza, ukiongozwa na Mkurugenzi mpya wa Maendeleo wa katika Ubalozi wa Uingereza nchini Tanzania, Bi. Anna Wilson, umetembelea Wizara ya Madini na kufanya mazungumzo na uongozi wa wizara hiyo ukiongozwa na Kaimu Kamishna wa Madini, Terrence Ngole. Ziara hiyo imefanyika leo Septemba 03, 2025 jijini Dodoma ambapo imelenga kumtambulisha rasmi... Read More