0 Comment
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV Kituo cha Taarifa na Maarifa (KC) Kata ya Chanika kimeibuka na ajenda ya kuimarisha miundombinu ya shule na uwezo wa kiuchumi kwa wanawake, baada ya kufanya tathimini ya utekelezaji wa mradi wa kuimarisha Haki za Uongozi na Uchumi kwa Wasichana na Wanawake pamoja na Wenye Ulemavu (WLER) yanayoratibiwa na Mtandao... Read More











