0 Comment
Na WMJJWM-Dar Es Salaam Jamii imehimizwa kuwakumbuka watu wenye Mahitaji Maalum katika msimu huu wa Sikukuu kwa kuwapatia zawadi na mahitaji mbalimbali ili waweze kusheherekea kwa furaha Sikukuu za mwisho wa mwaka. Rai hiyo imetolewa Desemba 25, 2024 na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake Jinsia na Wanawake na Makundi... Read More