0 Comment
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza wakati wa Mdahalo wa upatikanaji Mitaji ya Fedha na Fursa za Maendeleo ya Ushirika ulioenda sambamba na ripoti ya Mwaka ya Kilimo kwa mwaka 2022/2023, 2023/2024 katika Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete, jijini Dodoma. Na.Alex Sonna-DODOMA WAZIRI MKUU,Mhe. Kassim Majaliwa,amewataka wakulima na wananchi kwa ujumla wahakikishe wanajiunga na vyama... Read More