0 Comment
Jengo la Mahakama Kuu ya Tanzania, Division ya Ardhi. …………. MAHAKAMA Kuu Divisheni ya Ardhi imefanikiwa kutatua mgogoro wa zaidi ya miaka 20 uliohusisha umiliki wa nyumba, ambayo aliyekuwa Mtaalamu wa Shirika la Maendeleo la Taifa, Regina Ishemwabura, aliinunua kutoka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) mwaka 1973. Jaji Elinaza Luvanda alitoa uamuzi huo hivi... Read More