0 Comment
Na. Damian Kunambi, Njombe Kamati ya Siasa Wilayani Ludewa Mkoani Njombe imekagua na kuridhishwa na mwenendo wa miradi mbalimbali ya maendeleo na kutoa wito kwa watumishi na wananchi kuhakikisha kuwa wanatunza miradi mbalimbali katika maeneo yao Ili iweze kudumu Kwa muda mrefu na kuweza kuwasaidia. Akizungumza mara baada ya kufanya ukaguzi wa mradi wa Barabara... Read More