0 Comment
Wakulima nchini wamehaswa kutunza fedha pale wanapouza nafaka zao kwa bei nzuri ili soko linaposhuka wawe na hifadhi ya kutosha. Wameelezwa kuwa bei za masoko hazitabiriki hivyo ni muhimu kwa wakulima kuwa makini na rasilimali fedha wanazochuma. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema hayo tarehe 24 Septemba 2024... Read More