0 Comment
Msemaji wa Uhamiaji Nchini, SSI. Paul J. Mselle Idara ya Uhamiaji nchini imetoa taarifa ikieleza kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Wegesa Heche, alondoka nchini kupitia mpaka wa Sirari, wilayani Tarime, bila kufuata taratibu na kanuni za uhamiaji. Taarifa ya Idara hiyo imesema tukio hilo lilitokea katika Kituo cha Uhamiaji... Read More






