Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya Mbinga mkoani Ruvuma Desderius Haule na Makamu mwenyekiti Bahati Mbele kulia,wakimsikiliza Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Andrew Haule kushoto,kabla ya kuanza kwa kikao cha robo ya kwanza cha baraza la madiwani kwa mwaka wa fedha 2024/2025 kilichofanyika jana katika Ukumbi wa Halmashauri hiyo. Baadhi ya Madiwani wa Halmashauri ya... Read More