Uyui, Tanzania – Tarehe, 18 Septemba, 2024 – Katika hafla rasmi iliyofanyika leo, Benki ya TCB imekabidhi mabati 250 kwa Halmashauri ya Wilaya ya Uyui kama sehemu ya juhudi zake za kusaidia maendeleo ya jamii. Hafla hiyo iliongozwa na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Umma, Chichi Banda, na ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali,... Read More