BELINDA JOSEPH SONGEA WANANCHI zaidi ya elfu 4 wanatarajia kunufaika na huduma ya maji safi na salama, kufuatia Mradi wa Maji wa Bilioni 1.6 ambao umefikia asilimia 86.7 unaotekelezwa na Wakala wa maji safi na mazingira Vijijini RUWASA, mradi unaotarajiwa kukamilika mwezi oktoba mwaka huu. Hayo yamebainishwa na Meneja wa RUWASA Wilaya ya Songea Mathias... Read More