Na Ashrack Miraji (Fullshangwe Media), Lushoto Tanga Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mhe. Dkt. Batilda Buriani, ameagiza kuwa Tamasha la Usambara Tourism Festival 2024 litumike kama njia ya kuhamasisha wananchi kushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, unaotarajiwa kufanyika tarehe 27 Novemba 2024. Akiwa ameambatana na Kamati ya Usalama ya Mkoa, Dkt. Batilda alitoa agizo... Read More