Bungeni, Dodoma Imeelezwa kwamba Tanzania ipo mbioni kuanza uzalishaji wa madini ya Niobium ambayo ni moja ya madini adimu yanayotumika katika mitambo mbalimbali ikiwemo matumizi ya utengenezaji wa injini za Ndege na Roketi. Hayo yamesemwa leo Bungeni na Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa wakati akijibu swali lililoulizwa na Mbunge wa jimbo la Mbeya... Read More