Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Félix Antoine Tshisekedi, aliwasili Entebbe, Uganda, Jumatano kwa ziara ya kikazi ya saa chache na mwenzake, Rais Yoweri Museveni. Read More
Mahakama ya Mwanzo ya Kicukiro Alhamisi, Oktoba 31, ilianza kusikilizwa kwa dhamana ya Miss Rwanda 2022 Divine Muheto anayekabiliwa na mashtaka yanayohusiana na kuendesha gari akiwa amekunywa pamoja na kuharibu miundombinu na kukimbia baada ya kusababisha ajali. Mwendesha mashtaka mnamo Alhamisi aliambia mahakama kwamba baada ya Muheto kugonga nguzo ya umeme na mtende mnamo Oktoba... Read More
Polisi wa Israel wanasema wamewakamata wanandoa wanaotuhumiwa kufanya ujasusi kwenye tovuti za kijasusi za Israel na kukusanya taarifa kuhusu mwanachuo wa Israel kwa niaba ya Iran. Polisi na wakala wa usalama wa ndani wa Shin Bet walisema katika taarifa kwamba mtu aliyekamatwa, Rafael Guliev kutoka katikati mwa jiji la Lod, alikuwa amechunguza makao makuu ya... Read More
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa amesema serikali inatarajia kuanzisha baraza la Afya ya akili nchini litakalosimamia muundo utakaoratibu sekta mbalimbali za kitaaluma na kiutendaji ili kushugulikia ufaniaisi wa suala la Afya ya akili nchini. Majaliwa amesema hilo bungeni Jijini Dodoma wakati akijibu swali la mbunge wa Jimbo la Iringa mjini... Read More
Habari kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zinasema kuwa, jana Jumatano kulitokea ajali mbaya ya helikopta ya kijeshi ya nchi hiyo na kupelekea kupoteza maisha rubani, rubani mwenza na fundi ambao walikuwa ni raia wa kigeni. Taarifa hizo zimeongeza kuwa, wahanga wote hao watatu wa ajali hiyo walikuwa raia wa kigeni lakini hakujatolewa maelezo yoyote... Read More
Kiongozi mpya wa Hezbollah kutoka Lebanon, Naïm Qasim, ametoa hotuba yake ya kwanza siku ya Jumatano OKtoba 30, 2024, siku moja baada ya kuteuliwa kama mkuu wa kundi linalounga mkono Iran, zaidi ya mwezi mmoja baada ya kifo cha Hassan Nasrallah katika shambulio la Israel. “Mpango wangu wa utekelezaji ni mwendelezo wa mpango kazi wa... Read More
Serikali ya Tanzania na Cuba zimesisitiza kukuza ushirikiano wa kimkakati ili kuendelea kuimarisha ushirikiano wa kihistoria na kindugu ulioasisiwa na waasisi wa mataifa hayo mawili Baba wa Taifa Hayati, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere wa Tanzania na Hayati, Fidel Castor Ruz wa Cuba. Msisitizo huo umetolewa wakati wa Mkutano wa Kwanza wa Tume ya Pamoja ya... Read More
Shirika la Usalama wa Afya la Uingereza limetangaza siku ya Jumatano Oktoba 30 kwamba limegundua kisa cha kwanza cha maambukizo ya aina mpya ya virusi vya Mpox, ambavyo chimbuko lake kubwa ni kutoka barani Afrika. “Shirika la Usalama la Afya la Uingereza (UKHSA) limegundua kisa kimoja cha binadamu kilichothibitishwa cha clade 1b Mpox,” shirika hilo... Read More
EFTA yafadhili wakulima Watano Kutembelea Uturuki Kujifunza Kilimo: Safari ya Kubadilishana Maarifa na Ubunifu wa Kilimo Na Magesa Magesa Octoba, 2024. Dar es Salaam. Katika juhudi za kuhakikisha wakulima nchini wanapata maarifa na mafunzo zaidi ya mbinu bora za kilimo. Kampuni ya EFTA inayojishughulisha na utoaji wa mikopo ya mashine za aina mbalimbali kwa... Read More