Na Mwandishi wetu, Handeni Tanga. Jumla ya kaya 26 zenye watu 119 na mifugo 300 zilizokubali kuhama kwa hiari kutoka ndani ya Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro zimepokelewa rasmi katika Kijiji Msomera, Wilayani Handeni Tanga tarehe 28 Septemba, 2024. Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Katibu tarafa wa tarafa ya Sindeni Bw.... Read More