Na Mwandishi Wetu WANANCHI mbalimbali mkoani Kigoma, Mtwara na maeneo mengine wamepongeza hatua ya serikali kutaka kuifanya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kuwa mamlaka hatua ambayo itakayoipa uwezo na nguvu ya kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi. Mmoja wa wananchi hao, Zuhura Iddy alisema NEMC ikiwa mamlaka itakuwa na nguvu ya... Read More









