Na Mwandishi wetu Divisheni ya Mipango Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali inaendesha mafunzo ya uandaaji mpango na bajeti na utekelezaji wake kwa maafisa bajeti kutoka Divisheni, Vitengo na Ofisi za Mikoa za Mwanasheria Mkuu wa Serikali, mafunzo hayo ya siku 3 yanafanyika Jijini Arusha kuanzia tarehe 25 hadi 27 Septemba, 2024. Mafunzo hayo yameandaliwa... Read More