Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Mkoani Pwani Salum Maganya akifuatilia kwa makini wakati alipozindua wa mradi wa Uhifadhi shirikishi wa mikoko na Bionuwai zilizopo Delta ya Rufiji ambao umefanyika leo katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibiti Mkoani Pwani. Mwenyekiti Mtendaji wa Shirika lisilokuwa la Kiserikali la PAKAYA Culture Environmental Groups (PCEG) Abdallah... Read More