Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) leo tarehe 12 Oktoba limeng’ara kwa kuzoa tuzo tatu katika maonesho ya madini yanayofanyika Mkoani Geita. Tuzo hizo ni Mshindi wa Kwanza- Kampuni za UchImbaji wa Madini,Mshindi wa Kwanza-Makampuni Makubwa ya Uchorongaji na Mshindi wa Tatu kwa Udhamini wa maonesho haya. Aidha,Kikundi cha Chama cha Wachimbaji Wanawake (TAWOMA) kimeshinda... Read More