Na Mwandishi wetu, Hanang’ WATERAID inatarajia kufanikisha mradi wa maji Wilayani Hanang’ Mkoani Manyara, na jamii ya eneo hilo kunufaika na mradi maji kwa asilimia 100 na kuondokana na magonjwa ambukizi yanayotokana na uchafu wa mazingira na vyanzo vya maji. Mradi huo unatekelezwa na shirika la WaterAid la Uingereza kwa kushirikiana na wakala wa maji... Read More








