Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Mahakama ya Tanzania itakuwa na mchango mkubwa katika kuiwezesha Tanzania kufikia malengo yake ya maendeleo kama yatakayobainishwa kwenye Dira mpya ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2050. Rais Dkt. Samia ameyasema hayo leo wakati wa maadhimisho ya Kitaifa ya Siku ya... Read More








