Naibu Waziri wa Habari, utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Hamis mwinjuma amesema Serikali imekuwa ikichukua hatua mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko ya kasi ya teknolojia hasa kwa maudhui yanayopitia kwa watoa huduma za intaneti ambapo kwa kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeendelea kutoa leseni za maudhui mtandaoni kwa maombi ambayo yanakidhi vigezo vilivyowekwa. Mhe.... Read More







