NA MWANDISHI WETU,ZANZIBAR. NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa, amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungamo wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kutoa hotuba nzuri katika maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania, inayohimiza jeshi hilo kujitathmini na kujisahihisha ili liendelee kuaminiwa katika jamii. Dkt.Dimwa,amesema hotuba hiyo imekuwa... Read More