Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri Badr Abdelatty alisema Jumapili kwamba Misri ina mpango wa ujenzi mpya wa Gaza ambao hauhusishi kuwaondoa Wapalestina kutoka katika ardhi yao. “Tuna mpango madhubuti wa ujenzi mpya wa Ukanda wa Gaza ambao unahakikisha hakuna raia anayefukuzwa kutoka katika nchi yake. Maono yetu yako wazi kuhusu suala hili,” Abdelatty... Read More






