0 Comment
Waokoaji katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) wanaendelea kuwatafuta watu walio hai au waliokufa maji baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kupinduka na kuzama katika Ziwa Kivu, mashariki mwa Jamhuri hiyo. Hadi sasa taarifa kutoka DRC zinaeleza kuwa watu takribani 80 wamethibitika kufa maji katika ajali hiyo. Idadi kamili ya watu waliokuwamo ndani wakati boti... Read More





