0 Comment
RAIS SAMIA ATANGAZA MAPUMZIKO NOV 27, AKIJIANDIKISHA DAFTARI LA MKAAZI KUPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA
-Asema ni mapumziko ya kitaifa, ili wananchi washiriki kupiga kura kikamilifu . -Asisitiza kila mwenye sifa ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameitangaza 27 Novemba mwaka huu, kuwa siku ya mapumziko ya kitaifa ili wananchi washiriki... Read More