0 Comment
Gavana wa Benki Kuu, Emmanuel Tutuba akizungumza na wadau wa fedha na Wakala wa Uwezeshaji wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) kuhusiana na masuala ya Mikopo ya ZEEA kidijitali. Makamu wa Rais na Meneja Mikakati Kampuni ya Airpay Tanzania, Mihayo Wilmore akizungumza jijini Dar es Salaam leo Januari 31, 2025 walipo kutana na Gavana wa Benki Kuu... Read More