0 Comment
Serikali imeendelea kuweka mikakati endelevu ya kuwawezesha vijana nchini ili waweze kushiriki kikamilifu katika shughuli za uzalishaji mali na kukuza uchumi wa Taifa. Hayo yameelezwa wakati wa Kongamano la Vijana lililofanyika leo Oktoba 10, 2024, jijini Mwanza. Akizungumza Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Mhe.Tabia Maulid Mwita amesema Serikali ya Awamu ya Sita... Read More