0 Comment
Na WMJJWM, Dar ES Salaam Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwanaidi Ali Khamis ametoa wito kwa jamii hususani kina Mama kuwekeza katika malezi na makuzi ya awali kwa watoto ili kupata Jamii yenye afya ya mwili, akili na kiroho. Mhe. Mwanaidi ameyabainisha hayo katika hafla ya Jubilee ya... Read More